Friday, January 12, 2018

FDC MTO WA MBU CHAVUTIA WENGI

Wazazi na walezi waliohudhuria kwenye mahafali ya Tano ya wahitimu waliomaliza mafunzo mbalimbali ya ufundi na Elimu ya mifugo wamefurahishwa na maonyesho ya vitendo yaliyoandaliwa na wahitimu hao.

Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Mto wa Mbu kimehitimisha wanachuo katika fani ya Umeme wa majumba, umeme wa magari, ufundi wa magari, mapishi na hotelia, na pia fani ya Elimu ya mifugo.

Mkuu wa Chuo akiongelea mafunzo yatolewayo hapo kwa mwaka wa masomo 2017 ni pamoja na ushonaji ambayo ni fani mpya kwa chuo hicho.

Wengi wa wahitimu walifurahia namna ambayo uongozi, wakufunzi na watumishi wote kwa ujumla wanavyowatunza na kuwafundisha na kuomba juhudi hizi ziendelee.

Tutaendelea kufuatilia kwa karibu chuo hiki kujua nini hasa kinafanya kipate sifa hizi.

Tuesday, January 9, 2018

Saturday, November 11, 2017

karibu kwenye blog ya Fahari Media
Karibu sana kwenye blog ya Fahari Media. Hii ni blog yako ya kukupa habari za kweli na uhakika. Tunakuahidi blog hii kuwa blog ya kwanza Tanzania kwa kutoa huduma nzuri za habari, mafunzo mbali mbali ya kukufundisha kuhusiana na maisha n.k.

Ukiwa na Tangazo unataka tukutangazie kwenye blog hii ni bei ndogo sana wasiliana nasi kwa haraka kupitia email hii maganzamhehe@gmail.com utajibiwa kwa haraka sana. Unachotakiwa ni kuelezea nini unataka kutangaza mfano kutangaza biashara, Huduma au kutangaza blog au website ili ijulikane na watu wengi zaidi.

Vitu vizuri share na marafiki. Watumie marafiki anwani ya blog hii ambayo ni fahari-media.blogspot.com watumie kwenye magroup ya whatsapp facedbook na kwingineko ili nao waje kufaidika na habari zinazoandikwa kwenye blog hii ya kwanza kwa kutoa habari za kweli. Ukiwa na maoni comment hapa chini. Karibu sana.